Powered By Blogger

Tuesday, 20 January 2015

DOGO ASLAY NDANI YA PENZI ZITO NA NAIMA,NAIMA AJICHORA JINA LA ASLAY..

Jamani Mahaba Kitu Kingine , Mwanzo tulijua Nuhu Mziwanda pekeake ndio mwenye ujasiri huu wa kujichora tattoo ya mpenzi wake ..lakini sasa list imeongezeka , Mrembo Naima nae avunja Ukimya , Ajichora Tattoo ya mpenzi wake Dogo Aslay .

Naima ni yule binti aliyekuwaga kwenye beef na Wema Sepetu wakimgombania CK.

No comments:

Post a Comment